KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 15, 2016

MKUU WA WILAYA IRINGA RICHARD KASESELA AFUNGUA WARSHA YA KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUTUMIA KOMPYUTA

3
Mkuu wa Wilaya Iringa Richard Kasesela akiangalia vijana hao
2
Mkuu wa Wilaya Iringa Richard Kasesela akifungua Warsha  ya kuwawezesha wanafunzi kutumia kompyuta na wavuti (Bring Computer literacy to children in Tanzania).
 Mradi huo wa Global Out reach ulibuniwa na Bwana Mussle ambaye alitembelea Tanzania akimtembelea binti yake aliye kuja kijitlea Iringa (hawa ni raia wa marekani). Mradi huo unafadhiriwa na
Benki Kuu ya Tanzania , Rotary  International, Roman Catholic Church Iringa, St. Thomas na wadau wengine.
1
Mkuu wa Wilaya Iringa Richard Kasesela akizungumza wakati wa Warsha hiyo. 

No comments:

Post a Comment