Aliyekuwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki akisaini hati ya
makabidhiano. Kushoto ni Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul
Makonda.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki akisaini hati ya makabidhiano. Kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando na katikati ni Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Aliyekuwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki akimkabidhi vitendea kazi
vyote Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, wakati
alipomkabidhi ofisi jijini hivi karibuni.
Mkuu
mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza wakati akitoa
shukurani zake na kuelezea mwelekeo wake wa kiutendaji kwenye mkoa huo,
mara baada ya kukabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki (wapili kushoto), jijini hivi karibuni.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza mara baada ya kukabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki (katikati), jijini hivi karibuni.
Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya DCB, Edmund Mkwawa (kushoto), akimkabidhi mfano wa
hundi ya sh. milioni 10, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Chanika jijini hivi
karibuni, wakati alipokabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa
huo, Said Sadiki (hayupo pichani). Wapili kulia ni Kamanda wa Polisi wa
Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Siro.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga picha ya pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa. Katikati ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki aliyemkabidhi rasmi ofisi hiyo.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga picha ya pamoja na Watendaji wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga picha ya pamoja na Watendaji wa Benki ya DCB.
Mkuu
mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga picha ya pamoja na
Waandishi wa habari. Watatu kulia ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa blogu
hii ya bayana, Kassim Mbarouk.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akipiga picha ya pamoja na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment