MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendegu akitoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa Uzinduzi
wa kimkoa wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma, unaofadhiliwa na Shirika
la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
wa kimkoa wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma, unaofadhiliwa na Shirika
la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Ally akizungumza wakati wa Uzinduzi
wa kimkoa wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma, unaofadhiliwa na Shirika
la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
wa kimkoa wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma, unaofadhiliwa na Shirika
la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
Abdul
Kitula ambaye ni mtaalam wa fedha wa mradi wa PS3 akizungumza kwa niaba
ya Mkurugenzi wa Mradi huo wakati wa uzinduzi hii leo mjini Mtwara.
Mwakilishi
wa USAID, Laura Kikuli alikuwepo na kutoa salamu zake katika uzinduzi
huo a,mbao ulishirikisha watendaji wa Halamashauri zote za Mkoa wa
Mtwara.
Baadhi ya viongozi wa meza kuu wakifuatilia hotuba za ufunguzi
No comments:
Post a Comment