KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

July 21, 2016

WATANZANIA WAANZA KUVUNA ZAWADI KUTOKA TWIGA CEMENT KUPITIA PROMOSHENI INAYOENDELEA YA JIJENGE NA TWIGA CEMENT

Promosheni ya kwanza ya 'Jijenge na Twiga Cement iliyozinduliwa hivi karibuni imefanyika leo jijini Dar es Salaam Makao Makuu ya Twiga Cement ambapo washindi watatu  wamepatikana, Pichani kutoka kushoto ni Bakari Majid ambaye ni Mkaguzi Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Wapili Kushoto ni Simon Delens Mkurugenzi wa Masoko wa Twiga Cement na wa kwanza Kulia ni Martha Haule Mkuu wa Idara ya Masoko.Katika Promosheni hiyo washindi watatu wamepatika amabao ni  Athanas Nyagalu (Dodoma) ambaye ameshinda mifuko ya saruji 200, Mshindi wa Pili ni Charles Chale ambaye ameshinda mifuko 400, huyu ni mwanafunzi wa Uhasasibu, Mshindi wa kwanza ni Robert Kassim ambaye ni mkazi wa Dodoma yeye ameshinda mifuko 600 ya saruji 

Katika halfa hiyo viongozi hao wa Twiga Cement wametoa wito kwa Watanzania kuendelea kushiriki shindalo hilo kwani bado kuna zawadi kibao kutoka kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment