KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 1, 2016

WANAFUNZI IHUNGO WAENDELEA NA MASOMO

ngi1
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba (DC) Deodatus Kinawiro (wa kwanza kushoto) akitembelea maeneo mbalimbali katika Chuo cha Ualimu cha Bukoba kinachomikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (BLTC) kinachomolikiwa na Dayosisi ya Kaskazini Magharibi ambapo wanafunzi wa kidato cha tano kutoka shule ya sekondari Ihungo wataenda kusoma wakati shule yao inajengwa upya baada ya kuharibiwa kwa tetemeko la ardhi lililotokea Septemba 10, mwaka huu. Wa kwanza kulia ni Mkufunzi katika chuo hicho Dafroza Protas.
ngi2
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba (DC) Deodatus Kinawiro (wa kwanza kushoto) akitembelea maeneo mbalimbali katika Chuo cha Ualimu cha Bukoba kinachomikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (BLTC) kinachomolikiwa na Dayosisi ya Kaskazini Magharibi ambapo wanafunzi wa kidato cha tano kutoka shule ya sekondari Ihungo wataenda kusoma wakati shule yao inajengwa upya baada ya kuharibiwa kwa tetemeko la ardhi lililotokea Septemba 10, mwaka huu. Wa kwanza kulia ni Mkufunzi katika chuo hicho Dafroza Protas

No comments:

Post a Comment