Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea ufunguo ikiwa ni ishara
ya kukaribishwa Dodoma na Meya wa Manispaa ya Dodoma Jafar Mwanyemba
katika mapokezi yaliyofanyika kwenye makazi yake , Mlimwa Septemba 30,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha ufunguo aliokabidhiwa
na Meya wa Manispaa ya Dodoma, Jafar Mwanyemba (kushoto) kuashiria
kupokewa rasmi kwenye manispaa hiyo. Makbidhiano hayo yalifanyika kwenye
makazi yake eneo la Mlimwa Septemba 30, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na
wazee wa Dodoma baada ya kukaribishwa kimira na wazee hao Septemba 30,
2016.
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akizawadiwa kimira na
wanawake wa Dodoma ikiwa ni ishara ya kumkaribisha karika Manispaa hiyo,
Septemba 30, 2016.
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akizawadiwa kimira na
wanawake wa Dodoma ikiwa ni ishara ya kumkaribisha karika Manispaa hiyo,
Septemba 30, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment