KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 1, 2016

MH. GADRIEL DAQARRO AZINDUA UTAFITI WA SAUTI ZA VIJANA JIJINI ARUSHA ULIOFANYWA NA BRITISH COUNCIL

daq1

Mkuu
wa wilaya ya Arusha,Mh.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa
Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council
kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza  la
DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi
nchini,kulia ni Meneja Mradi wa British Council Tanzania,Elizabeth
Nkanda.

Mkuu
wa wilaya ya Arusha,Mh.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa
Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council
kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza  la
DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi
nchini.

Mtaalamu wa sera za ufugaji, Carolyn Kandusi akiongoza shughuli nzima iliyofanyika jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment