KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 19, 2017

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MAKAPA NA WAZIRI WA MAENDELEO WA DENMARK IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

BEJA 1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza  Rais Mstaafu wa awamu 
ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa baada ya maongezi yao  ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017
BEJA 3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman
 ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017
BEJA 4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzi na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman
 ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017
BEJA 6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya kumbukumbu  na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman
na ujumbe wake pamoja na  Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango na Katibu Mkuu Wizara hiyo Mhe. Dotto James  Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017
BEJA 5

No comments:

Post a Comment