Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua
Mhandisi Dkt. Richard Joseph kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya chuo cha
michezo Malya.
Uteuzi
huo umetekelezwa kwa mujibu wa sheria ya Na. 9 ya Baraza la Taifa la
Elimu ya Ufundi (NACTE) ya mwaka 1997 ikisomwa na mwongozo wa uteuzi wa
bodi ya uongozi wa vyuo vya elimu ya juu.
No comments:
Post a Comment