KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 18, 2014

AMREF NA MABALOZI WAKE KATIKA KAMPENI YA KUOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO

Maofisa wa Amref Health Africa, Eliminatha Paschal na kulia ni Lilian Nsemwa, wakifuatilia mkutano huo.
Mkurugenzi Mkazi Msaidizi, Dk. Rita Noronha (katikati), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa mkutano huo, Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Amref Health Africa, Dk. Festus Ilako na kushoto ni Balozi wa taasisi hiyo, msanii Banana Zoro.
Mkurugenzi Mkazi Msaidizi, Dk. Rita Noronha (kushoto), akifafanua jambo wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo. Katikati ni Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Amref Health Africa, Dk. Festus Ilako na kulia ni Balozi wa taasisi hiyo, msanii Mwasiti Almasi.        
                                            

No comments:

Post a Comment