KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 22, 2014

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AKABIDHI NGAO KWA VODACOM TANZANIA, KATIKA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4IZ_Zi1DbbxBB7OHuuzU33dVR0o7Z-IFhaKbMYvGZG6v4JyHnjBHbuUYls-Mf0lcQXGiYdoHTsQPkSNq4XYjjZgVPktrTcqSOQ1pZyCq5uI0UP40WUqUAd1vXDvzHqXrz_lCDWcNPNxCz/s1600/unnamed+(59).jpg
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Magessa Mulongo, akikabidhi Ngao kwa Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Georgia Mutagahywa, kwa kutambua mchango wao na jitihada za Vodacom kuhakikisha usalama barabarani.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhljQNpdJ8KU0Ib_o3fCoHlwUA8OF6JGXE2_0GWXZ9KMXPgDzh-qoCXn3_P3BbWY4AQEzD8Mp39GEcU2qIT5Msxz7NPaA2DR5Yq4cignNewbB80EPW2W4I4-33MrG6oFZ6BF9jZlKLRZ60E/s1600/unnamed+(60).jpg
Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Georgia Mutagahywa, akiwa na Maofisa wa Jeshi la Polisi wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Magessa Mlongo, wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani ambayo imefanyika Kitaifa Mkoani Arusha, ambapo Vodacom Tanzania wamepewa tuzo ya kutambulika kwao katika mchango na jitihada za kuhakikisha usalama barabarani mwaka huu.

No comments:

Post a Comment