Mkurugenzi wa Kampuni ya JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27
na 28 Septemba 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam
ambapo pia mafundi wapatao 50 watatembelea Hospitali ya CCBRT kusaidia wanawake
wenye Ugonjwa wa Fistula.Kushoto ni Mkurugenzi wa Josekazi Auto Garage Bw.
Joseph Mgaya.
|
No comments:
Post a Comment