Baada ya TP Mazembe kutolewa na Entente Sportive Setif ya Algeria wachezaji wote walilia kwa uchungu Kwa dakika kadhaa ukimywa wa huzuni ulitawala katika chumba cha kubadilishia nguo....wa kwanza kuzungumza na vyombo vya habari alikuwa ni Mghana Solomon ASANTE ambaye aliwaambia Waandishi wa habari kwamba : "Wakati unaupenda mpira wa miguu , unategemea vitu vitatu ambavyo ni : kushinda, kutoa sare na kufungwa ,Katika kuwakabili ESS, hatukuwa na bahati na kumbulia kutolewa . Inauma sana lakini huwezi kubabadili maamuzi ya Mungu .Ninawaomba wapenzi wetu ambao kwa gharama yoyote walipenda tufuzu wasikate tamaa. "
|
October 2, 2014
BAADA YA KUTOLEWA NA ESS ASANTE WA TP MAZEMBE AOMBA RADHI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment