Ujumbe wa Tanzania ukisikiliza taarifa ya Mji wa Merowe kutoka kwa Inj. Mohamed Elsheikh. Mtambo wa kuzalisha umeme katika Bwawa la Merowe Ujumbe
wa Tanzania, viongozi wa Sudan na wataalam mbalimbali wa Bwawa la
kuzalisha umeme la Merowe wakiwa katika picha ya pamoja katika bwawa
hilo.
Ndani ya jengo la bwawa la kuzalisha umeme la Merowe.
Ndani ya jengo la bwawa la kuzalisha umeme la Merowe.
Waziri
wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe, na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Prof. Peter Msolla, wakiwa kwenye
kiwanda cha nyama ya kuku wakiangalia utendaji na uendeshaji wake.
Mjumbe wa Kamati, Prof. David Mwakyusa, akiangalia moja ya kifaa cha kisasa katika Hospitali ya Mji wa Merowe.
No comments:
Post a Comment