![]() |
| Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (kulia), akikabidhiwa usinga, ukimtambulisha kama mzee wa jamii ya Kimasai (Laigwanani), na Askofu mteule wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini kati Mkoani Arusha, Solomon Masangwa (kushoto), wakati wa harambee ya ukarabati wa miundombinu ya shule ya Enaboishu. |
![]() |
| Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali na wafanyakazi wa Shule ya Enaboishu. |




No comments:
Post a Comment