Mgeni rasmi kwenye mahafali ya 19 ya
Shule ya Sekondari ya Airwing, Ukonga jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi
wa Operesheni na Vita wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Brigedia
Zoma Kongo, akizungumza na wahitimu wa Kiato cha Nne, wakati wa mahafali
yao hayo, shuleni hapo leo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Shule, Meja
Kisakeni Mlighite na kulia ni Mlezi wa Shule, LuteniKanali Mohamed
Suleiman.
Mgeni rasmi kwenye mahafali ya 19 ya
Shule ya Sekondari ya Airwing, Ukonga jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi
wa Operesheni na Vita wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Brigedia
Zoma Kongo, akizungumza na wahitimu wa Kiato cha Nne, wakati wa mahafali
yao hayo, shuleni hapo leo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Shule, Meja
Kisakeni Mlighite na kulia ni Mlezi wa Shule, LuteniKanali Mohamed
Suleiman.
Walimu na wageni mbalimbali wakiwa
katika mahafali hayo, wakimsikiliza mgeni rasmi, Mkurugenzi wa
Operesheni na Vita wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Brigedia
Zoma Kongo, wakati alipokuwa akizungumza katika mahafali hayo, shuleni
hapo leo.
No comments:
Post a Comment