Ngongoti waliobuniwa na kuvalishwa
nguo za Kampuni ya Mikoani (Azania), akigawa vipeperushi vya bidhaa za
kampuni hiyo, viwanjani hapo, wakati wa siku ya mwisho ya maonesho ya
maadhimisho hayo jana.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Mikoani
Traders, wazalishaji wa Unga wa Azania na wasafirishaji wa nafaka kwenda
mikoani na nchi mbalimbali barani Afrika, Nife Al Shatri, akiwapa
maelezo wageni mbalimbali waliotembelea kwenye banda la kampuni hiyo
kwenye maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Chakula Salama.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Mikoani
Traders, wazalishaji wa Unga wa Azania, wahifadhi na wasafirishaji wa
nafaka kwenda mikoani na nchi mbalimbali barani Afrika, Nife Al Shatri,
akionesha baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na kampuni hiyo, wakati wa
maadhimisho ya Wiki ya Chakula Salama.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Mikoani
Traders, wazalishaji wa Unga wa Azania, wahifadhi na wasafirishaji wa
nafaka kwenda mikoani na nchi mbalimbali barani Afrika, Nife Al Shatri,
akimkaribisha kwenye banda la kampuni hiyo, mgeni rasmi katika ufungaji
wa maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Chakula Salama, Mkurugenzi wa
Usalama wa Chakula wa Wizara ya Kilimo na Chakula, Karim Mtambo.
No comments:
Post a Comment