KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 28, 2014

MHE. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WASHIO POLLAND

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj80U1S2dcPIiHT7O9w14kiqcjPM9U1Dmlp8LTNIp6dwejDJnSGAHiUD8nImtUTMIVZnmjZ7SgQ7IbaAK-E-TxlkfGtSSN5XiJPSX8MXP3-Z75ZZdw6L8MArxwhm5AR3JZH2k25uSs6cr0/s1600/115035.jpg
Baadhi ya watanzania waishio Polland, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mhe. Pinda (hayupo pichani), wakati alipokutana nao mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Sheraton Jijini Warsaw, Polland.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijE1t4egg-n3_26Vtdh0eiNwdYavh3NMjSy6I1ucQzq3ya-rp2ZsR1qXnwHnPRKiQxRljDilZLarczGnWMta3pnE66CkpJCUXxNjWAfdgErGEs_H8P_bwNnELYV1NNXtQHpHIVl_pirX4/s1600/120100.jpg
Mhe. pinda, akiagana na Mwenyekiti wa Watanzania waishio Polland, Bw. Steven Sambali, mara baada ya kukutana nao na kuwaeleza yanayoendelea nyumbani Tanzania.

No comments:

Post a Comment