Msanii Vicky Kamata, akiimba wimbo
wa kumpongeza Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, na Taasisi ya Wanawake na
Maendeleo(WAMA), kwa juhudi za kumkomboa mtoto wa kike kielimu, wakati
wa mahafali ya pili Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika
mazingira magumu ya WAMA Nakayama, iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, Wilayani Rufiji Mkoani Pwani yaliyofanyika jana.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt.
Asha Rose Migiro (kulia), akimkabidhi cheti cha kuhitimu elimu ya
sekondari mwanafunzi wa kidato cha nne kutoka Shule ya
Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira magumu ya WAMA
Nakayama, iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, Wilayani Rufiji Mkoani
Pwani, Ulizeni Ngonyani, katika mahafali ya pili yaliyofanyika jana
Baadhi ya wahitimu wa elimu ya
sekondari ya kidato cha nne kutoka katika Shule ya Sekondari ya
Wasichana wanaoishi katika mazingira magumu ya WAMA Nakayama, iliyopo
katika Kijiji cha Nyamisati, Wilayani Rufiji Mkoani Pwani, wakifurahia jambo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, wakati wa sherehe za
mahafali ya pili yaliyofanyika jana.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt.
Asha Rose Migiro (katikati), akizindua zahanati kwa ajili ya matibabu
ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika
mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama.
Wahitimu wa elimu ya sekondari
ya kidato cha nne.







No comments:
Post a Comment