Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Oman,
Mhe. Sayyid Fahad Mahmoud Al Said, baada ya kuwasili kwenye uwanja
wa ndege wa wa Kimataifa wa Muscat wa Royal Airport, kwa ziara ya
siku mbili ya kikazi nchini humo Oktoba 27, 2014.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akikagua gwaride baada ya kuwasili kwenye
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Muscut wa Royal Airport kwa ziara ya
kikazi ya siku mbili nchini Oman. Kushoto ni Naibu
Waziri Mkuu wa Oman Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda, akiongozana na Naibu Waziri Mkuu wa Oman,
Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na baadhi ya Watanzania waishio Oman,
baada ya kuwasili kwenye hoteli ya AL Bustan Palace, mjini Muscut, kuanza
ziara ya siku mbili nchini humo.





No comments:
Post a Comment