Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya
Korea Kaskazini, Bw. Kim Yong Nam. Mama Salma alikutana na kiongozi
huyo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta ulioko Nairobi
tarehe 26.10.2014, akiwa njiani kurejea Dar es Salaam akitokea nchini
China.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete, akisalimiana na Mke wa Naibu Rais wa Kenya,
Mama Rachel Ruto, kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata mjini Nairobi
tarehe 26.10.2014. Mama Salma alisimama kwa muda uwanjani hapo akiwa
njiani kurejea nchini akitokea Beijing nchini China kwenye safari ya
kikazi.




No comments:
Post a Comment