Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara, Mhe. Mark Mwandosya,
akisalimiana na Makamu wa Rais wa Kenya, Mhe William Ruto, wakati wa
sherehe za kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru wa Zambia Mjini Lusaka jana.
Mhe. Mwandosya alimuwakilisha, Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika sherehe
hizo.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara, Mhe. Mark Mwandosya (wa
tatu kulia), pamoja na Mkewe Lucy Mwandosya, wakishiriki kuimba Wimbo wa
Taifa wa Zambia. Wengine kutoka kulia ni Kaimu Rais wa Zambia,
Mhe Edgar Lungu, ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi, na wa pili kulia ni
Makamu wa Rais wa Nigeria Monance Namadi Sambo.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu asiye na Wizara, Mhe. Mark Mwandosya, na
mkewe Lucy Mwandosya, wakisalimiana na Rais wa kwanza wa Zambia, Mzee
Kenneth Kaunda. Mhe. Mwandosya alimuwakilisha, Rais Jakaya
Mrisho Kikwete.
No comments:
Post a Comment