Mwenyekiti wa Umoja wa Wateja wa Nmb, Jeremia Mahenge akifungua mkutano wa umoja wa wateja wa NMB katika ukumbi wa RC Mwanelwa. |
Meneja Mahusiano wa NMB Makao makuu, Dickson Pangamawe, akiwapa somo wateja wake |
Mtaalamu wa Biashara ya kimataifa wa NMB makao makuu Alatunoze Sanga akitoa somo kwa wateja wa Nmb katika mkutano huo |
Wateja wa NMB Mkoa wa Mbeya wakiwa makini kusikiliza somo |
Afisa mikopo NMB Mbalizi Road HANCESON Kyambi akieleze sasa wanatoa mikopo ya bajaji na pikipiki kwa vijana |
No comments:
Post a Comment