KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 28, 2014

QPR YAILAZA ASTON VILLA

QPR na Aston Villa katika vita vikali. QPR imeifunga Aston Villa                                              

Ligi kuu ya soka ya England iliendelea tena usiku wa kuamkia jumanne kwa mchezo mmoja tu kuchezwa.

QPR ndio walikuwa wenyeji kuwaalika Aston Villa katika dimba la Loftus Road ambapo wenyeji QPR walifanikiwa kuifurusha kama si kuisasambua Aston Villa kwa jumla ya mabao 2 kwa mshangao.

Matokeo hayo yameisaidia timu hiyo kupanda nafasi moja juu kutoka mkiani kwakuwa na point 7 kibindoni huku Burnley ikiendelea kuburuza mkia katika msimamo wa ligi hiyo.

Chelsea ndio vinara wa ligi hiyo ambao bado wanaendelea kuwa juu kileleni.

BBC
 

No comments:

Post a Comment