Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe
jijini Dar es salaam. Ujenzi
na upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati
wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe.
Masaki Okada, wakifungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara
ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe Jijini
Dar es salaam. Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam, Mhe Saidi Meck Sadiki, Mbunge wa Kawe Mhe.
Halima Mdee, na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Dar es salaam, Ndg. Ramadhani
Madabida.
Sehemu
ya barabara ya Mwenge-Tegeta yenye urefu wa Km 12.9, ambayo ni sehemu
ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari
katika jiji la Dar es Salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe.
Masaki Okada, wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya
Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe Jijini Dar es
salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete, na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Masaki
Okada, baada ya ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika
eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe Jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment