Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo,
akiowaonyesha mabango ya filamu za Tanzania wageni kutoka Mamlaka ya
Mawasiliano Kenya (hawapo pichani), walipotembelea ofisi za Bodi hiyo ili
kujifunza namna ya Uendeshwaji wa Bodi ya Filamu jana Jijini Dar es
Salaam. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Bw. Silyvester
Sengerema.
Kutoka
kushoto ni Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA),
Bi. Jacquline Kinyanjui, Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano
Kenya, Bi. Mercy Tepla, na Afisa kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
(TCRA), Bw. George Charles, wakisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa
Bodi ya Filamu Tanzania, walipotembelea ofisi za Bodi hiyo jana Jijini
Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment