KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 27, 2014

TIGO 'WELCOME PACK' MKOANI ARUSHA

unnamed1 
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group Mkoani Arusha, kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo, waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki, kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack. 

Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, mb175,sms bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
unnamed2
Wasanii wa kikundi cha Original Komedi, kikiwapa burudani wakazi wa Mkoa wa Arusha.
 unnamed3 Msanii Ibrahim Mussa Maarufu Roma Mkatoliki, akiwapa burudani wakazi wa Mkoa wa Arusha.
  unnamed4
Meneja wa mauzo wa Tigo Mkoani Arusha, Bw. Aidan Komba, akiongea na wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha kubwa la Tigo welcome pack.
 unnamed5
Msanii Joseph Haule maarufu kama Professor J, akiwapa raha wakazi wa Mkoa wa Arusha.
  unnamed6 
Mmoja kati ya watu waliojitokeza kwenye tamasha la welcome pack, akipokea zawadi toka kwa mfanyakazi wa Tigo.

No comments:

Post a Comment