View the slide show
KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668
www.utt-pid.org
TEMBELEA: www.utt-pid.org
November 2, 2014
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse katika hospitali kuu ya JWTZ ya Lugalo jijini Dar es Salaam ljana kabla ya mwili huo kusafirishwa kwenda Njombe kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifariji familia ya marehemu wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse katika hospitali kuu ya JWTZ ya Lugalo jijini Dar es slaam jana, mwili huo utasafirishwa kwenda Njombe kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akiifariji familia ya marehemu wakati wa kuaga mwili wa marehemu Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse katika hospitali kuu ya JWTZ ya Lugalo jijini Dar es Salaam jana mwili huo kusafirishwa kwenda Njombe kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo.
Rais Mstaafu Mhe. Benjamin William Mkapa akitoa heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa marehemu Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse katika hospitali kuu ya JWTZ ya Lugalo jijini Dar es slaam jana kabla ya mwili huo kusafirishwa kwenda Njombe kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment