Balozi
wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic na Baltic,Mh. Dora Mmari Msechu
(kushoto) akipeana mkono na Rais wa Estonia,Mh. Toomas Hendrik
Ilves,wakati alipofika Ikulu ya nchi hiyo kuwasilisha hati utambulisho
wake kwa Rais.Mhe.
Balozi Dora Msechu (wa pili kulia) na timu yake wakiwa kwenye
Mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Chuo cha Tallinn University of
Technology. Mazungumzo yao yalilenga kuanzisha ushirikiano na vyuo vya
Tanzania (UDSM na UDOM) na pia kutafuta fursa zaidi za masomo ya sayansi
ngazi ya Masters na Phd. Estonia ni moja ya nchi iliyopiga hatua kubwa
sana katika masuala ya ICT.
No comments:
Post a Comment