VIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR
Vijana
kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika semina ya jinsi ya kutafuta ajira
kwenye taasisi mbalimbali wakati wa Maonesho ya Ajira kwa Vijana, kwenye
Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Baadhi
ya wanafunzi wa vyuo vikuu wakijaza kwenye fomu za kutafuta ajira
katika Banda la Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa Maonesho ya
vijana wa vyuo ya kupata fursa ya ajira katika taasisi mbalimbali
(Careers Fair 2014) katika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam.
Kushoto ni Lilian Erasmus Ofisa wa Idara ya TBL ya Mauzo na Usambazaji.
No comments:
Post a Comment