KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

December 22, 2014

BIASHARA 37,000 ZAANZISHWA KUPITIA MRADI WA UJASIRIMALI KWA VIJANA –ILO

001
Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.
HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG
002
Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana
003
Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam wilaya zote tatu za mkoa wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment