Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya
KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina,
msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…
“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti
na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???..
nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand
zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri
kweli, sio tena ukale hela za mchina wa watu halafu ukatutolee maruerue!
utegemee support yetu ..” – Diamond Platnumz
Wewe una maoni gani?
Bongo Movies
No comments:
Post a Comment