Ajali mbaya imetokea msitu wa miti wa Mafinga Iringa mchana huu. Kwa mujibu wa habari zilizotufikia aliyepoteza maisha ni Yunith Gwamaka Mwakenja ,majeruhi ni Dereva wa gari hilo ambaye nu mhadhiri wa chuo cha Tumain makumira Tawi la Mbeya Bw Gwamaka Mwakenja pia majeruhi mwingine ni Joyce Fredy. Wengine wametibiwa na kuruhusiwa. Chanzo inasadikika kuwa ni mwendo kasi na gari kuacha njia kwa sababu ambazo bado hazijajulikana na kupinduka |
.
No comments:
Post a Comment