Vijana wa Skauti wakiusindikiza mwili wa Bibi Twitikege Mlagha katika nyumba yake ya milele.
|
Ankal
Muhidin Issa Michuzi akimfariji Dotto Mwaibale wakati wa kuuaga mwili
wa marehemu Jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa Mbeya kwa
mazishi, wengine katika picha ni pamoja na Asha Kigundula, Anna Nkinda
na Erick Shigongo anayeonekana kwa mbali |
|
Mshereheshaji
mashuhuri nchini Charles Mwakipesile akimfariji mfiwa Nicco Mwaibale
mara baada ya kuwasili kijiji cha Newland Kiwira, Tukuyu kwa ajili ya
mazishi. |
|
Nicco Mwaibale akijifuta machozi huku akifarijiwa na kaka yake Kulwa Mwaibale mara baada ya kuwasili kijijini |
|
No comments:
Post a Comment