Naibu waziri maji Mhe. Amos makalla akipata maelezo ya ujenzi wa tanki la maji mradi wa Boro-Masoka kutoka kwa mhandisi maji Moshi injinia Brown Lyimo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji kanda ya Kaskazini. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Novatus Makunga |
Naibu Waziri wa maji Mhe. Amos Makalla akiangalia ramani ya mradi wa maji Boro - MasokaNaibu Waziri wa maji Mhe. Amos makala akikagua chanzo cha maji cha Mananga cha mto Ghona,
No comments:
Post a Comment