KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 28, 2015

ABDULRAHMAN KINANA: WAFUASI WA CHAMA CHA CUF WAKO KIFUNGONI

4
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF  jambo ambalo linawasikitisha sana.
10
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wakishiriki ujenzi wa tuta la kuzuia maji chumvi katika bonde la Mpunga la Koowe Wingwi Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba , kulia ni Vuai Ali Vuai Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba Ndugu Omar  Khamis Othman
11
Balozi Ali Karume naye akishiriki katika ujenzi wa tuta hilo katikati ni Bw. Mbaruk Ali Mgau  Afisa  Imkuu Idara ya Umwagiliaji Mkoa wa Kaskazini Pemba.
12
Moja ya malori yanayopeleka kifusi katika ujenzi wa tuta hilo likiwa limekwama kando ya tuta hilo
13
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Dr.Rashid Daud Mkasha Mganga Mkuu wa Wilaya ya Micheweni mara baada ya kuwasili katika hospitali ya wilaya ya Micheweni wa pili kulia ni Dr. Omar Makame Khamis Daktari mdhamini wa hospitali hiyo
14
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa  Dr.Rashid Daud Mkasha Mganga Mkuu wa Wilaya ya Micheweni wakati alipokuwa akikagua ukarabadi wa wodi katika hospitali hiyo.
. .

No comments:

Post a Comment