Wageni
mbalimbali wakiingia na kutoka Katika Banda la Watanzania kujione
bidhaa za Watanzania Wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya
Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman.
Msanii
wa kuchora Fred Halla akifanya sanaa yake ya Uchoraji katika Katika
Banda la Watanzania.Fred ni mmoja wa Watanzania Wanaoshiriki katika
Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea
Mascut-Oman.
Msanii
wa Uchongaji Iddy Amana akiwahudumia wateja katika Banda la Watanzania.
Iddy ni mmoja wa Watanzania Wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa
ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman.
Mpishi
wa Vyakula mbali mbali Haji Omar akiwahudumia wateja wake wanaopenda
vyakula vya Kitanzania.Haji ni mmoja wa Watanzania Wanaoshiriki katika
Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea
Mascut-Oman.


No comments:
Post a Comment