Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi
Nape Nnauye akisalimiana na Mratibu wa Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM,
Emmanuel Nchimbi, walipokuwa wakikagua mazoezi ya vijana wa Chipukizi wa
CCM ya paredi na halaiki kwa ajili ya Maadhimisho ya Kilele cha Miaka
38 ya CCM, yatakayofanyika Kitaifa kesho kwenye Uwanja wa majiMaji mjini
Songea.
Vijana wa Chipukizi wa CCM
waliopo katika mazoezi ya halaiki na paredi kwa ajili ya Maadhimisho ya
Miaka 38 ya CCM mjini Songea, wakikipiga saluti wakati wa mazoezi ya
mwisho leo kwenye uwanja wa Majimaji
Kijana wa Chipukizi wa CCM Mbaraka Ngonyani akionyesha umakini wake wakati akipiga saluti wakati wa mazoezi hayo ya mwisho leo
No comments:
Post a Comment