Ramadhan Shamte wa JKT Ruvu akimtoka Emanuel Okwi wa Simba, wakati wa mchezo huo.
Ramadhan Shamte wa JKT Ruvu akipambana na Emanuel Okwi wa Simba, wakati wa mchezo huo.
Emanuel Okwi wa Simba akimnyanganya mpira Ramadhan Shamte wa JKT Ruvu katika mchezo huo.
Emanuel Okwi wa Simba, akishikiliwa na Ramadhan Shamte wa JKT Ruvu.


No comments:
Post a Comment