KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 24, 2015

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA USIKU WA KUAMKIA LEO WAKIJARIBU KUPORA PESA KARIAKOO

Askari polisi wakiwa wamepakia kwenye gari miili ya majambazi wawili waliouwawa baada ya mapambano ya risasi baada ya kutaka kupora pesa katika duka la Mpesa/Tigo Pesa/Airtel Money mtaa wa Mkunguni jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo. Chini ni umati uliokusanyika sehemu ya tukio.

No comments:

Post a Comment