Spika wa Bunge Anne Makinda akizungumza Bungeni Mjini Dodoma Januari 28, 2015.
Spika wa Bunge, Anne Makinda akitoka Bungeni baada ya kulazimika kuahirisha kikao kabla ya muda wake.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na wabunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah (kulia) na Mary
Mwanjelwa kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma.
Mbunge wa Bariadi Magharibi,
Andrew Chenge (kulia) na Mbunge wa Mji Mkongwe Ibrahim Sanya kwenye
viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rose Kamili kwenye viwanja vya
Bunge mjini Dodoma Januari 28, 2015.
(Picha zote na Ofisiya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment