KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 31, 2015

MKUTANO WA MAOFISA MAWASILIANO SERIKALINI WAFUNGWA MTWARA

2
Wawasilishaji kutoka kampuniya PUSH OBSERVE wakiwaelezea maafisa mawasiliano huduma wanazotoa ikiwa ufuatiliaji wa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao yakijamii pia utoaji wa taarifa wajumbe kupitia mitandao ya simu (Bulk messages)
3
Mwenyekiti wa Mudawa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bw. Innocent Mungy akitoa taarifa ya utekelezaji wakazi wa chama hicho kwa Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha Maafisa ha oleo MkoaniMtwara.
4
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Sihaba Nkinga akiwaeleza Maafisa Mawasiliano Serikalini umuhimu wakuwa na ushirikiano na vyombo vya Habari kwa dhumuni la kuieleza jamii nini serikali inakifanya, pia aliwataka kuendelea kuongeza juhudi katika utendaji kazi kupitia mafunzo waliyoyapata katika kikao kazi hicho.
5
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bw.Johansen Bukwari akiongea na Maafisa Mawasiliano Serikalini ambapo alisisitiza umuhimu wa Maafisa Mawasiliano kutoa taarifa za Serikali kwa Umma.

No comments:

Post a Comment