| Mkuu wa Kitengo cha Kudhibiti Hali Hatarishi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Nicholaus Paul (wa nne kushoto) akikata utepe kuashiria makabidhiano ya msaada wa madawati yenye thamani ya zaidi ya sh milioni 3 yaliyotolewa na wafanyakazi wa kitengo cha mikopo ya makampuni cha benki hiyo kwa Shule ya Msingi Maweni. Hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Maweni, Sylvester Roche, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule hiyo, Martha Silavwe, Mwalimu Mkuu, Zuhura Mwaliko na baadhi ya wafanyakazi wa NBC. |
| Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi
Maweni, Zuhura Mwaliko (wa pili kulia) akimshukuru Mkuu wa Kitengo cha Kudhibiti
Hali Hatarishi wa Benki ya NBC, Nicholaus Paul baada ya kupokea msaada wa
madawati yenye thamani ya zaidi ya sh milioni 3 yalitolewa na wafanyakazi wa
kitengo cha mikopo ya makampuni cha NBC. Hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo,
Kigamboni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa Kitengo
cha Mikopo ya Makampuni, Beatrice Musira na mwalimu mkuu msaidizi wa shule
hiyo, Martha Silavwe. |
| Meneja wa Kitengo cha Mikopo ya Makampuni wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC, Beatrice Musira (kulia) akisalimiana na mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Maweni, Msafiri Habakuki, wakati wa hafla hiyo shuleni hapo jana. |


No comments:
Post a Comment