Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma
makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa
siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe
(Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na
Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi). |
No comments:
Post a Comment