KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 22, 2015

RUFIJI YAPOKEA VIFAA TIBA

unnamed (1)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Seif Rashid akimshukuru Mkurugenzi wa kampuni ya Giant Surgical and Pharmaceutical inayojishughulisha na masuala ya afya na tiba Peter Joseph Karia ambayo imechangia kufanikisha upatikanaji wa baadhi ya vifaa tiba vilivyokabidhiwa katika zahanati Nyamwage kata ya Mbwala hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment