Waziri
wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Seif Rashid akimshukuru Mkurugenzi wa
kampuni ya Giant Surgical and Pharmaceutical inayojishughulisha na
masuala ya afya na tiba Peter Joseph Karia ambayo imechangia kufanikisha
upatikanaji wa baadhi ya vifaa tiba vilivyokabidhiwa katika zahanati
Nyamwage kata ya Mbwala hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment