Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula
na Ushirika, Godfrey Zambi akitoa kauli ya Serikali kuhusu Mkakati wa
Serikali wa Kutatua Changamoto za Soko la Sukari nchini, Bungeni mjini
Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema)
Susan Lyimo akichangia hoja ya Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali
(PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC)
Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward
Lowassa (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa
Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Bungeni mjini Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester
Bulaya akichangia hoja ya ya Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali
(PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) jana
Bungeni mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment