Mwezeshaji
kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa
wa pili kulia akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela Dr.
Festo Dugange jana wakati wa ziara ya kuhamasisha vijana wa Kyela. Wa
kwanza kulia ni Afisa Maendeleo ya Vijana Bi. Amina Sanga, wa kwanza
kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele na
wa pili kushoto ni Afisa Vijana Mkoa wa Mbeya Bw. George Mbijima.
Afisa
Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Amina
Sanga akiwaelimisha vijana wa Wilaya ya Kyela kuhusu mwongozo
unaosimamia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakati wa semina ya
Ujasiriamali, Stadi za Maisha, Ujuzi na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
iliyofanyika jana katika Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya.
No comments:
Post a Comment