KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 30, 2015

TASWIRA YA MSHIKE SHIKE WA MWENYEKITI WA CUF NA WAFUASI WA CHAMA CHAKE HIVI KARIBUNI

 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi(CUF)  Prof. Ibrahim Lipumba  akiwa  anaongea na Askari  kabla ya muda mfupi kuanza sekeseke kwa Askari  kuwapiga  Wafuasi wa Chama hicha  maeneo ya mtoni Dar es Salaam jana.
 Askari akiwa anatoa amri
 Akibadilishana hoja na askari
 Wanahabari wakifuatilia kwa makini matukio katika kashkash hilo 
 Patashika mfuasi wa chama hicho na askari
Askari wakiwa na mfuasi wa chama cha CUF  na  katikati mwenye kofia nyekundu ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi(CUF)  Prof. Ibrahim Lipumba.
 Katika  jitihada kumsalimisha Mwenyekiti wao
 Mfuasi wa CUF , katika kujiokoa na hatimaye kuzidiwa nguvu na kushambuliwa sehemu mbalimbali za mwili.
 Mfuasi wa chama hicho akiwa katika wakati mgumu Dar es Salaam hivi karibuni maeneo ya Mtoni .
Kipigo kikiendelea.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi(CUF)  Prof. Ibrahim Lipumba  akiwa katika Gari maalum la Polisi.

No comments:

Post a Comment