KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 17, 2015

ZIARA YA NDUGU KINANA UNGUJA

Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Rahaleo Mhe Abdalla Juma Mabodi, alipofika katika jimbo hilo kuzindua Mradi wa Maji Safi na Salama na kujionea utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi yaCCM kwa Wananchi wa Jimbo hilo. (Picha zote kwa hisani ya ZanziNews)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndg. Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo, Mhe Nassor Salim Jazira, alipowasili katika Tawi la CCM Makadara chini,kuangalia utekelezaji wa Ahadi za Mbunge na Mwakilishi kwa Wanachi wa jimbo hilo na kuzindua mradi wa utandazaji wa mipira ya kusambazia maji kwa wananchi wa Shehia ya Makadara chini.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Wananchi wa Jimbo la Rahaleo alipowasili katika Tawi la CCM Makadara Chini, akiwa katika ziara yake kutembelea miradi na kuimarisha Chama na kujionea utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa wananchi wake.

No comments:

Post a Comment