KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 11, 2015

AMOS MAKALLA AFANYA ZIARA MKOANI MANYARA


ma1
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme na Inj. Salum Chusi wa Wizara ya Maji (nyuma) wakiangalia pampu ya maji ya mradi wa Simbay katika ziara yake ya kukagua utekelezaji na uzinduzi wa miradi ya maji mkoani Manyara jana.
ma2
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa kwenye tanki la maji la mradi wa maji wa Simbay, wilaya ya Hanang mkoani Manyara.
ma3
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akizindua rasmi mradi wa maji wa kijiji cha Simbay, Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara katika ziara yake aliyoanza mkoa wa Manyara jana, akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu na Mbunge wa Hanang, Dk. Mary Nagu na Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme.

No comments:

Post a Comment